Katika kuhakikisha rasilimali misitu inakuwa endelevu Shirika la Kuhifadhi Misitu ya Asili Tanzania (TFCG), Mtandao wa Jamii Usimamizi wa Misitu Tanzania (MJUMITA) na Shirika la Mpingo na Maendeleo (MCDI) wametoa maombi saba kwa Bunge. Soma zaidi kupitia linki hii https://francisdande.blogspot.com/2021/06/tfcg-mjumita-mcdi-watoa-maombi-7-bungeni.html